Ferrari na uongozi wa F1 walianza kutengeneza 'halo' au uzio wa magari ya F1 kuzuia magereva kuumia katika ajali lakini kuna upande wa Strategy Group ambayo inaongozwa na boss wa F1 Bernie Ecclestone wamepinga na kusogeza mbele mpango huo...Sasa mpango huo hautakuwepo msimu ujao na unaweza kuanza msimu wa 2018...
0 Yorumlar